
Tanzanian video vixen Hamisa Mobetto has said that she has no problem with socialite Zari Hassan unlike what many believe.In an interview with Times FM Mobetto said that she has never been in a grudge with Zari Hassan because of Diamond Platnumz.“Mimi siwezi kuweka beef na mwanamke kwa sababu ya mwanaume ndio niko hivyo kwamba nikimdate mtu tukiachana Alhamdulillah riziki inaishia hapo you move on with life. Kwa sababu mimi naamini tukiachana na huyu kuna kizuri Zaidi kinafika. Alafu sio kama sitongozwi saa zingine nabaki kama nang’ang’ania hapa nafanya nini,” said Hamisa.

