
Things have a taken a new turn regarding Diamond and Rayvanny’s recent ban after the two performed “Mwanza” which has been banned by BASATA.The singer, who has expressed frustration since the ban and even thought of relocating to Kenya, has now taken a different path and he’s asking for forgiveness from both BASATA and the government.
In an Instagram post, the singer, accompanied with Rayvanny, said they’re really regretting performing the song and it has been a lesson for them.“Japo tunajitahidi kuwa vijana wa mfano bora kwenye Taifa letu, lakini kama tulivyoumbwa binadam hatuwezi kupatia siku zote, lazma itatokea siku tutateleza tu….Ila Utelezapo, ni vyema kulijua Kosa na Kulirekebisha ili kesho na Kesho kutwa lisijirudie….Inshaallah Mwenyez Mungu Atusimamie na kutuongezea Juhudi na Maarifa katika Kazi zetu ili kwa Pamoja tuzidi kuukuza Muziki wetu na Kuendelea Kuiwakilisha vyema na kulipa sifa Nzuri na Heshima Nchi yetu….Tuseme Amin…..
